19 Aug 2016

At kawagware 46/56 at a wedding.
I was called to participate in cooking chapati and serving food by my best friend who is a chef and also an outside cater.
Me there with my friend serving pilau rice



4 Aug 2016

Why mnachoma machuo ama hatuwasikizi ama mnadai nini#sheng poem

I wonder why students wanachoma machuo.
Is It that wamenywimwa right ya kuvaa manguo.
Na sikuizi wanavaa mini Na mapipe si ka zamani ulikua unavaa duos.
That is toja mbili moja dani ya kupuguza makali ya kiboko ya mwalimu Na ile ya chuo.
Ama ni stress za kuchop hard Na ukiwa engineer Wa kuuda roads zikijegwa badala upewe tender ya kujega mchina ama muhindi napewa.
Na we unabaki pale ka msee Wa mkono vumbi Na moshi do unapewa.
Ama ni koz petrol inatoka cheap ama are you parents giving you a lot of pocket money.
Ama ulichoma coz mwalimu alikupernish koz alikupata Na your honey.
mkaeza jua efforts za ur parents u can't burn wacha ata kuburn huwezi vuta sigara ama koro coz pia iyo inakuburn in ur life.